Search results

1 – 3 of 3
Article
Publication date: 13 October 2022

Nanjala Nyabola

Maneno mengi yanayohusu haki za binadamu na haki za kiteknolojia hayajatafsiriwa katika lugha ya Kiswahili. Kwa hivyo, wataalamu wa teknolojia na watetezi wa haki za kidijitali…

Abstract

Purpose

Maneno mengi yanayohusu haki za binadamu na haki za kiteknolojia hayajatafsiriwa katika lugha ya Kiswahili. Kwa hivyo, wataalamu wa teknolojia na watetezi wa haki za kidijitali hutumia maneno ya Kiingereza – hata bila utohozi – wanapozungumzia haki za kiteknolojia. Hali hii ya mambo inachangia udhoofu fulani katika utetezi wa haki za kidijitali kwani wanaojaribu kueleza jamii umuhimu wa haki hizi hulazimishwa kutegemea msamiati wa Kiingereza usiyo na msingi au viungo na lugha ya Kiswahili Katika makala hii, tutazungumzia umuhimu wa kukaribisha watu kutumia lugha za Kiafrika kwenye mtandao.

Design/methodology/approach

Kiswahili ni lugha ya Kiafrika inayozungumzwa katika eneo zaidi sana duniani. Karibu watu milioni mia moja na arobaini Afrika mashariki wanazungumza Kiswahili kama lugha yao ya kwanza au ya pili, miongoni mwao Wakenya na Watanzania, wenyeji wa nchi ambamo Kiswahili ni lugha ya kitaifa. Tena kuna historia ndefu ya kutumiwa kwa lugha ya Kiswahili katika uandishi, uchapishaji na ubunifu wa utamaduni wa kisasa. Kiswahili pekee yake ndiyo lugha ya asili ya Kiafrika inayotumika kama lugha ya maalum ya Umoja wa Mataifa za Kiafrika. Hata hivyo, kwa upande wa matumizi ya Kiswahili, hasa kwenye mada ya teknolojia, Kiswahili imewachwa nyuma.

Findings

Zaidi ya maneno rasmi, uwepo wa lugha za Kiafrika ni muhimu kuimarisha jumuiya za Kiafrika mtandaoni kwani lugha inalenga sana haki na utambulisho wa watu. Miradi za kutafsiri maneno za kiteknolojia katika lugha ya Kiswahili inahimiza jumuiya za Afrika Mashariki kuunda jamii inayosimamia matakwa yao vyema. Makala hii basi inazingatia umuhimu wa lugha kwenye kuunda jamii na katika hatua za kuondoa mbinu za kikoloni mtandaoni ili wenyeji wa Afrika Mashariki wajione mtandaoni kwa ujumla wao wote. Makala pia itazingatia semiotiki ya lugha katika ubunifu wa teknolojia, na umuhimu wa kutafsiri jamii ya lugha ya Kiswahili katika harakati za kuondoa ukoloni katika ubunifu huu. Lakini sio tu kwamba lugha ya Kiswahili ndio pekee inayoweza kuondoa mbinu za kikoloni mtandaoni, kwani pia lugha hiyo ina ishara za kutawalwa kwa jamii fulani. Bali makala hii inatumia mfano wa Kiswahili kuhimiza utumiaji wa lugha za kiasili au za kimama mtandaoni ili kulinda mustakabali wa kidijitali wa umma.

Originality/value

Umuhimu wa makala hii ni kuashiria jipya umuhimu wa lugha katika harakati za kuendeleza haki za kidijitali na hasa kuondoa mbinu za kikoloni kwenye teknolojia, swala lisilowahijadiliwa katika lugha ya Kiswahili.

Article
Publication date: 28 September 2012

Rasel Mpuya Madaha

The purpose of this paper is to facilitate an understanding of influence of gender roles in drought so as to come with relevant recommendation aimed at bettering the lives of men…

Abstract

Purpose

The purpose of this paper is to facilitate an understanding of influence of gender roles in drought so as to come with relevant recommendation aimed at bettering the lives of men, women and female children.

Design/methodology/approach

Data have been collected via participant observation, interviews and collection of unpublished primary and secondary data generated by case studies conducted by the author. After which, content analysis was employed for its potentiality as a means of systematically identifying, classifying and analyzing information relevant to this study.

Findings

It is argued in this study that the survival of the community, in Central Tanzania, is questionable because effects of drought have reached intolerable levels and strategies adopted aren't that helpful. More specifically, socially assigned gender roles, position women and female children at the most disadvantageous position as the main victims of the disaster. Accordingly, gender roles have to be changed, if the effects of drought have to be mitigated and the community rescued from disappearance.

Originality/value

The research is original as data obtained cannot be easily accessed by short term researchers who have inadequate knowledge of the community and cannot observe season changes. Practitioner, social scientists and natural scientists, engineers and contractors included, can have their confidence in the findings: the findings are ready to be used.

Details

International Journal of Disaster Resilience in the Built Environment, vol. 3 no. 3
Type: Research Article
ISSN: 1759-5908

Keywords

Article
Publication date: 13 April 2015

Monica Samuel Chipungahelo

The purpose of this paper is to examine knowledge sharing on traditional vegetables for supporting food security among farmers and other communities in Kilosa district, Tanzania…

Abstract

Purpose

The purpose of this paper is to examine knowledge sharing on traditional vegetables for supporting food security among farmers and other communities in Kilosa district, Tanzania.

Design/methodology/approach

A case study design was employed. Semi-structured questionnaires with both open- and closed-ended questions were used to collect quantitative data in three wards of Kilosa District in Tanzania. Interviews were used to collect qualitative data from three heads of farmer groups, and direct observation was used to validate findings obtained from questionnaires.

Findings

The results showed that farmers used a socialisation approach to share indigenous knowledge about traditional vegetables on production, consumption and preservation.

Research limitations/implications

The study necessitates a need to conduct regular studies on sharing knowledge of traditional vegetables among different communities for supporting food security.

Practical implications

The paper provides a framework for agricultural development planners on how to improve the management of indigenous knowledge on traditional vegetables with scientific knowledge in local communities for improving food security in Tanzania.

Social implications

The paper has an implication for improving knowledge-sharing strategies on traditional vegetables in supporting food security in Tanzania, and other parts of Africa and developed countries. There is a need for knowledge intermediaries to develop knowledge database on production, consumption and preservation of traditional vegetable to increase the dissemination of this knowledge and, hence, improve nutrition and food security.

Originality/value

The paper provides appropriate knowledge-sharing strategies which are needed to improve sharing of indigenous knowledge about traditional vegetables in Tanzania and other developed and developing countries.

1 – 3 of 3